One thing I have learned in life so far is that,whenever I face a challenge it in one way or another show how weak/vulnerable on my own I am and that I do not know everything all the time. It encourages me to always be humble before God,remain calm proclaiming victory and be ready so that he can teach me and guide me through the learning process daily and empower me to do all that I have/needed to do.
"Basi rafiki zangu wapendwa, kama ambavyo mmekuwa mkitii nilipokuwa nanyi, nawasihi mwendelee kunitii vivyo hivyo, na hata zaidi sasa kwa kuwa sipo pamoja nanyi. Endeleeni kufanya bidii kwa ajili ya wokovu wenu huku mkitetemeka na kuogopa. 13 Kwa maana ni Mungu ambaye anatenda kazi ndani yenu, akiwapa nia ya kutimiza mapenzi yake na kuwawezesha kutenda yale yanayompendeza " Fil 2:12-13
Ni Mungu ndiye atuwezeshaye so tusiogope daima tumtumaini na tumkiri yeye
"I have much more to tell you,but now it would be too much for you to bear.When however the Spirit comes who reveals the truth about God,he will lead you into all truth".John 16:12-13. Do you want to know the truth?are you everytime seeking the truth?I have good news for you,Accept Jesus as the Lord and Saviour of your life,ask him to fill you with The Holy Spirit and The Holy Spirit will lead you into all truth.
Page Links
Welcome note
Welcome to inspired blog.Be blessed all
Friday, March 22, 2019
Wednesday, March 20, 2019
Wednesday, March 6, 2019
KULITUMIKIA SHAURI LA BWANA
Kuna makusudi ya aina tatu katika maisha,
Kusudi la Mungu
Kusudi la wanadamu
Kusudi la ibilisi
Jambo la kuzingatia hapa unapotamani kutimiza kusudi fulani ni vizuri ukajifunza kwa wale wanaolitumikia kusudi linalofanana la la kwako.
Kamwe usijaribu kukaa pamoja na kuambatana na wale wasio na kusudi la Mungu wakati wewe una nia ya kulitumikia kusudi la Mungu.
Kusudi la Mungu
Kusudi la wanadamu
Kusudi la ibilisi
Jambo la kuzingatia hapa unapotamani kutimiza kusudi fulani ni vizuri ukajifunza kwa wale wanaolitumikia kusudi linalofanana la la kwako.
Kamwe usijaribu kukaa pamoja na kuambatana na wale wasio na kusudi la Mungu wakati wewe una nia ya kulitumikia kusudi la Mungu.
Subscribe to:
Posts (Atom)