Consider it pure joy, my brothers, whenever you face trials of many kinds, because you know that the testing of your faith develops perseverance. Perseverance must finish its work so that you may be mature and complete, not lacking anything. --James 1:2-4
"I have much more to tell you,but now it would be too much for you to bear.When however the Spirit comes who reveals the truth about God,he will lead you into all truth".John 16:12-13. Do you want to know the truth?are you everytime seeking the truth?I have good news for you,Accept Jesus as the Lord and Saviour of your life,ask him to fill you with The Holy Spirit and The Holy Spirit will lead you into all truth.
Page Links
Welcome note
Welcome to inspired blog.Be blessed all
Tuesday, September 26, 2017
Thursday, September 7, 2017
A GOD WHO RELATES
Our God is a God who relates,so our lives should as well be
centered into relationships and not just
achieving things.May the Almighty God help us to live in love and unity.
centered into relationships and not just
achieving things.May the Almighty God help us to live in love and unity.
Saturday, September 2, 2017
NO EXCUSE
Mara nyingine huwa tunadanganyika halafu tunakubali,tunaogelea katika dhambi kwa kisingizio kuwa sisi ni wadhaifu,angalia Mungu asemayo hapa:
3 Maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu, kutakaswa kwenu, mwepukane na uasherati;
4 kila mmoja wenu ajue kuuweza mwili wake katika utakatifu na heshima;
5 si katika hali ya tamaa mbaya, kama Mataifa wasiomjua Mungu.
6 Mtu asimpunje ndugu yake wala kumkosa katika jambo hili; kwa sababu Bwana ndiye alipizaye kisasi cha haya yote; kama tulivyowaambia kwanza, tukashuhudia sana.
7 Maana Mungu hakutuitia uchafu, bali tuwe katika utakaso.
8 Basi yeye anayekataa, hakatai mwanadamu bali Mungu, anayewapa ninyi Roho wake Mtakatifu.
1 Thes 4:3-8
Ni mapenzi ya Mungu na kusudi la Mungu tuishinde dhambi maana hatukuumbwa hivyo,na katika kutusaidia katika hilo ametupa na Roho wake Mtakatifu ili atusaidie,Kwa hiyo ni uamuzi wangu kumruhusu Roho Mtakatifu anisaidie au niendelee kutembea katika dhambi mwisho wake uwe ni mauti ya milele
3 Maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu, kutakaswa kwenu, mwepukane na uasherati;
4 kila mmoja wenu ajue kuuweza mwili wake katika utakatifu na heshima;
5 si katika hali ya tamaa mbaya, kama Mataifa wasiomjua Mungu.
6 Mtu asimpunje ndugu yake wala kumkosa katika jambo hili; kwa sababu Bwana ndiye alipizaye kisasi cha haya yote; kama tulivyowaambia kwanza, tukashuhudia sana.
7 Maana Mungu hakutuitia uchafu, bali tuwe katika utakaso.
8 Basi yeye anayekataa, hakatai mwanadamu bali Mungu, anayewapa ninyi Roho wake Mtakatifu.
1 Thes 4:3-8
Ni mapenzi ya Mungu na kusudi la Mungu tuishinde dhambi maana hatukuumbwa hivyo,na katika kutusaidia katika hilo ametupa na Roho wake Mtakatifu ili atusaidie,Kwa hiyo ni uamuzi wangu kumruhusu Roho Mtakatifu anisaidie au niendelee kutembea katika dhambi mwisho wake uwe ni mauti ya milele
Subscribe to:
Posts (Atom)