Welcome note

Welcome to inspired blog.Be blessed all

Wednesday, March 6, 2019

KULITUMIKIA SHAURI LA BWANA

Kuna makusudi ya aina tatu katika maisha,
Kusudi la Mungu
Kusudi la wanadamu
Kusudi la ibilisi

Jambo la kuzingatia hapa unapotamani kutimiza kusudi fulani ni vizuri ukajifunza kwa wale wanaolitumikia kusudi linalofanana la la kwako.
Kamwe usijaribu kukaa pamoja na kuambatana na wale wasio na kusudi la Mungu wakati wewe una nia ya kulitumikia kusudi la Mungu.

No comments:

Post a Comment